Tanzania - Taifa Stars - Yanga - Simba - Azam - Local

Stars katika mtego wa DR Congo Jumanne

Joel JJ By Joel JJ
β€’
12 Oct 2024
Stars katika mtego wa DR Congo Jumanne

Jumanne, Oktoba 15 2024 timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' itakuwa uwanja wa Benjamin Mkapa katika mchezo wa marudiano kuwania kufuzu Afcon 2025 dhidi ya DR Congo

Baada ya kupoteza mchezo wa kwanza baina ya timu hizo uliopigwa dR Congo juzi, Jumanne Tanzania inahitaji ushindi tu ili kuweka hai matumaini ya kufuzu Afcon 2025

Katika msimamo wa kundi H, DR Congo wako kileleni wakiwa alama 9, wako katika nafasi nzuri ya kufuzu na pengine watakuja wakiwa lengo la kusaka ushindi ili kujihakikishia tiketi yao mapema

Tanzania iko nafasi ya pili ikiwa na alama nne, kama itashinda dhidi ya DR Congo itafikisha alama 7 na kuendelea kusalia nafasi ya pili 

TFF ilitangaza viingilio vya mchezo huo jana ambapo Mzunguuko ni Tsh 2,000/- tu

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
2h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
2h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
3h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
4h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
4h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
5h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
20h ago
READ MORE β†’