Viingilio Dabi ya Kariakoo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 12th October 2024


Viingilio Dabi ya Kariakoo

Mapema tu klabu ya Simba imetangaza viingilio kuelekea mchezo wa ligi kuu Kariakoo Derby dhidi ya Yanga utakaopigwa Jumamosi ijayo, Oktoba 19 katika uwanja wa Benjamin Mkapa, saa 11 jioni

Kiingilio cha chini majukwaa ya Mzunguuko ni Tsh 5,000/- huku VIP A ikiwa Tsh 50,000/-

Simba watakuwa wenyeji wa mchezo huo utakaozikutanisha timu zenye upinzani wa jadi katika historia ya soka la Tanzania


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.