Manchester City wanamfikiria kocha mkuu wa Sporting Ruben Amorim, 39, kuwa meneja wao mpya ikiwa Pep Guardiola, 53, ataondoka mkataba wake utakapokamilika mwishoni mwa msimu huu. {Guardian) Beki wa Bayern Munich na Canada Alphonso Davies, 23, analengwa na Manchester United msimu ujao. (Sky Germany)
..... download Xtra 90 App



