Medo kutua Kagera Sugar

Joel JJ By Joel JJ β€’ 17th October 2024


Medo kutua Kagera Sugar

Baada ya kuiongoza Mtibwa Sugar kushinda mechi nne mfululizo ligi ya Championship, Kocha Mellis Nedo anaelekea kujiunga na Kagera Sugar

Wiki iliyopita Kagera Sugar iliachana na Kocha Paul Nkata baada ya mfululizo wa matokeo mabaya

Medo tayari ameaga Mtibwa Sugar ambapo nafasi yake imekaimiwa Awadh Juma aliyekuwa Kocha Msaidizi

Medo ni kocha mwenye uzoefu mkubwa na ligi kuu akiwa amewahi kuzinoa klabu za Coastal Union na Dodoma Jiji kabla ya kurejea kwao


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.