Singida Black Stars imesema imeshaonja 'utamu' wa kukaa kileleni katika msimamo wa Ligi Kuu Bara hivyo haitakuwa rahisi kushushwa kwa sababu wanataka kuendelea kung'ang'ania kwenye nafasi hiyo kwa kupata ushindi watakapocheza dhidi ya Namungo Jumapili kwenye Uwanja wa Liti mkoani, Singida
..... download Xtra 90 App



