JKT Tanzania yaitisha Yanga

Joel JJ By Joel JJ β€’ 22nd October 2024


JKT Tanzania yaitisha Yanga

JKT Tanzania leo watakuwa mikononi mwa Yanga pale Azam Complex katika mchezo wa ligi kuu ya NBC utakaopigwa saa 1 usiku

Kupitia ukurasa wao wa mtandao wa X, JKT Tanzania wameiandikia Yanga barua ya wazi kuwa leo wanakwenda kuwaadhibu vikali pale Azam Complex ili kuzilipia kisasi timu ndogo zote zilizofungwa na Wananchi.!


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.