Mwenyekiti wa zamani wa klabu ya Simba Ismail Aden Rage amesema mlinda lango Moussa Camara alifanya makosa ya kibinadamu katika mchezo wa ligi kuu ya NBC dhidi ya Yanga uliopigwa Jumamosi iliyopita na Simba kufungwa bao 1-0
Rage amewaasa viongozi wa Simba wanaomtuhumu mlinda lango huyo kuwa amewahujumu, wamuombe radhi kwani tangu aliposajiliwa na timu hiyo amefanya kazi..... download Xtra 90 App



