Rais wa CAF Patrice Motsepe anasema ipo haja ya kukabiliana na ukosefu wa uanamichezo miongoni mwa nchi za Afrika, ambao umekuwepo kwa muda mrefu
Soka la Afrika limekuwa likikabiliwa na uhasama kati ya nchi au vilabu kwa muda mrefu. Baadhi ya mifano inaweza kuwa timu za uenyeji kushindwa kutoa usafiri wa kutosha, malazi, au vifaa vya mafunzo
Tukio la hivi karibuni la aibu ni pale..... download Xtra 90 App



