Fc Barcelona watavalia jezi za kipekee wakati wa El Clasico wikendi hii wakimenyana na wapinzani wao Real Madrid
Miamba hao wa Uhispania watakutana Jumamosi hii kwa mpambano mkubwa wa La Liga, huku Barca wakiwa kileleni mwa msimamo
Itakuwa mechi ya kusisimua, huku Robert Lewandowski na Raphinha wakichuana na Kylian Mbappe, Jude Bellingham na Vini Junior





