Arajiga, Komba, Sasii wapewa mechi ya kufuzu Afcon 2025

Joel JJ By Joel JJ β€’ 25th October 2024


Arajiga, Komba, Sasii wapewa mechi ya kufuzu Afcon 2025

Waamuzi wa Tanzania Ahmed Arajiga, Frank Komba, Hamdani Said na Elly Sasii wameteuliwa na CAF kuwa Waamuzi watakaochezesha mchezo wa Kufuzu AFCON 2025 kati ya Cameroon dhidi ya Zimbabwe

Mchezo huo utapigwa Novemba 19,2024 huko Cameroon

Arajiga atakuwa mwamuzi wa kati akisaidiwa na Frank Komba, Hamdani Said na Elly Sasii akiwa mwamuzi wa akiba

]


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.