Mchezo wa tatu ligi kuu ya NBC leo Ijumaa Oktoba 25 umehitimishwa dimba la Azam complex kwa wenyeji Azam Fc kuibuka na ushindi wa mabao 4-1
Bao la mkwaju wa penati kutoka kwa Feisal Salum 'Fei Toto' na mabao mengine yaliyofungwa na Jhonuer Blanco, Gibril Silllah na Cheikh Cidibe yalitosha kuihakikishia Azam Fc alamu tatu muhimu ambazo zimewasogeza hadi nafasi ya nne katika msimamo wa ligi..... download Xtra 90 App



