Local,Normal News,Azam, KenGold

Azam Fc yaifumua KenGold 4-1

Joel JJ By Joel JJ
25 Oct 2024
Azam Fc yaifumua KenGold 4-1

Mchezo wa tatu ligi kuu ya NBC leo Ijumaa Oktoba 25 umehitimishwa dimba la Azam complex kwa wenyeji Azam Fc kuibuka na ushindi wa mabao 4-1

Bao la mkwaju wa penati kutoka kwa Feisal Salum 'Fei Toto' na mabao mengine yaliyofungwa na Jhonuer Blanco, Gibril Silllah na Cheikh Cidibe yalitosha kuihakikishia Azam Fc alamu tatu muhimu ambazo zimewasogeza hadi nafasi ya nne katika msimamo wa ligi baada ya kufikisha alama 18

Jahazi la KenGiold linazidi kuzama, timu hiyo imeendelea kusalia mkiani mwa msimamo wa ligi ikikusanya alama nne tu baada ya mechi 9

Ni wazi wageni hao wa ligi kuu ya NBC msimu huu wanaweza kurejea Championship kama hawataanza kukusanya alama zaidi katika mechi zao

More Stories

Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
6h ago
READ MORE →
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
7h ago
READ MORE →
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
9h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
9h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
10h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
10h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
11h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
11h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
11h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
13h ago
READ MORE →