Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea leo kwa michezo miwili kufanyika Arusha na Mbeya
Coastal Union itakuwa mwenye wa Kagera Sugar kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha
Coastal ipo nafasi ya 12 katika msimamo wa Ligi Kuu ikiwa na pointi 8 baada ya michezo tisa wakati Kagera Sugar ni ya 14 ikiwa pointi 5 baada ya michezo nane
Mechi nyingine, Dodoma Jiji itakuwa mgeni wa..... download Xtra 90 App



