Mashujaa Fc kutoka mkoani Kigoma imetamba itaendeleza ubabe dhidi ya Wekundu wa Msimbazi Simba Sc pale timu hizo zitakapokutana katika mchezo wa ligi kuu siku ya Ijumaa, Novemba 1
Nyasi za uwanja wa Lake Tanganyika zitakuwa kwenye wakati mgumu katika mchezo huo utakaopigwa saa 10 jioni
Mashujaa Fc wanakumbukumbu ya kuibuka na ushindi dhidi ya Simba mara ya mwisho katika uwanja huo..... download Xtra 90 App



