Kocha Mkuu wa Singida Black Stars Patrick Aussems amesema ubora wa uwanja wa New Amaan Complex utawapa faida kimbiinu katika mchezo wao wa ligi kuu dhidi ya Yanga ambao utapigwa Jumatano usiku
Akizungumza katika Mkutano na wanahabari kuelekea mchezo huo, Aussems alisema kikosi chake kina wachezaji wengi bora hivyo kesho itakuwa nafasi nzuri kwao kuonyesha walichonacho





