International,Normal News,Manchester United

Amorimi kuanza kazi United Nov 11

Joel JJ By Joel JJ
β€’
31 Oct 2024
Amorimi kuanza kazi United Nov 11

Kwa mujibu wa Fabrizio Romano, Manchester United na Sporting wamekubaliana kila kitu kuhusu uhamisho wa kocha Ruben Amorim

Ruud van Nistelrooy ataendelea kuiongoza Manchester Unite kama kocha wa muda hadi Novemba 11 kisha wakati wa enzi mpya ya Amorim utaanza

Meneja huyo raia wa Ureno ataongoza mechi yake ya kwanza Novemba 24 dhidi ya Ipswich Town 

Mkataba wake na Man Utd ni hadi Juni 2027, Sporting watapokea thamani kamili ya kifungu cha kununua mkataba chenye thamani ya pauni 10m

Zaidi ya hayo, Sporting itapata pauni 1m ya ziada kwa wafanyakazi na notisi ya siku 30 ya kuondoka kwa Amorim iliyokubaliwa katika saa 24 zilizopita

More Stories

Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
Klopp amchagua ter stegen, kipa namba moja ujerumani
1m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
29m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’