Kikosi cha Taifa Stars kinaendelea kujifua kwa ajili ya mechi ya marudiano ya kuwania fainali za michuano ya Mabingwa wa Afrika (CHAN) dhidi ya Sudan, huku yakitengenezwa mazingira ya kuwamaliza Wasudani walioshinda mechi ya kwanza kwa bao 1-0
..... download Xtra 90 App



