Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, Fountain Gate, Singida BS

Shime aomba sapoti ya mashabiki kufuzu CHAN

Joel JJ By Joel JJ
β€’
2 Nov 2024
Shime aomba sapoti ya mashabiki kufuzu CHAN

Kocha wa Taifa Stars Bakari Shime amewataka mashabiki kufika kwa wingi Uwanja wa Mkapa kesho Jumapili, Novemba 03 kwa ajili ya kuipa nguvu timu yao katika mchezo wa kuwania kufuzu fainali za CHAN dhidi ya Sudan

Shime amesema ni ngumu kueleza namna walivyocheza wakiwa ugenini mwishoni mwa wiki iliyopita nchini Mauritania, lakini kuna nafasi kwa Watanzania kwenda Uwanjani kwa kuona uwezo wa Taifa Stars ambayo amesisitiza imejiandaa kupata ushindi nyumbani

Katika mchezo wa kwanza dhidi ya Sudan, Stars ilipoteza kwa kufungwa 1-0

Hakuna kiingilio katika mchezo huo utakaopigwa kuanzia saa 1 usiku

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
28m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
17h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’