Timu ya Taifa ya Tanzania imepoteza mchezo wa kuwania kufuzu CHAN 2025 dhidi ya Sudan ikifungwa kwa mikwaju ya penati 6-5 baada ya matokeo ya aggregate ya sare ya bao 1-1
Tanzania iliibuka na ushindi wa bao 1-0 katika dakika 90 za mchezo huo, Chrispine Ngushi akifunga bao la Stars katika kipindi cha kwanza akimaliza krosi ya David Bryson
Stars ilifungwa bao 1-0 katika mchezo wa..... download Xtra 90 App



