Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo mechi mbili zinatarajiwa kupigwa mkoani Tabora na Kagera
Tabora United watakuwa wenyeji wa Maashujaa katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Ali Hassan Mwinyi saa 10 jioni
Baada ya ushindi dhidi ya Pamba Jiji katika mchezo uliopita, Tabora United watakuwa wakisaka alama nyingine tatu muhimu ambazo zinaweza kuwasogeza juu ya Mashujaa katika msimamo..... download Xtra 90 App



