Mfungaji wa bao pekee lililoitibulia Yanga katika Ligi Kuu, Gibril Sillah amefunguka namna bao hilo lilivyompa heshima, lakini akizidi kumfukuzia Stephane Aziz Ki katika mechi za Dabi ya Dar es Salaam.
Mashabiki wa Yanga wamekosa raha baada ya Sillah kuitungua timu yao kwenye Uwanja wa Azam Complex, kwani lilivunja rekodi kibao ilizokuwa nazo, lakini hilo lilikuwa bao la tatu kwa staa..... download Xtra 90 App



