Klabu ya Azam FC, imesema inaendelea kusherehekea ushindi wao wa bao 1-0 ilioupata Jumamosi iliyopita dhidi ya Yanga na itafanya hivyo hadi Novemba 23, mwaka huu, itakapocheza mechi yake nyingine ya Ligi Kuu dhidi ya Kagera Sugar
Ofisa Habari wa timu hiyo, Hasheem Ibwe, jana alisema kwa bahati nzuri baada ya kuwafunga Yanga hawana mchezo mwingine wowote hadi Novemba 23 itakapocheza dhidi..... download Xtra 90 App



