Winga Saimon Msuva na mlinda lango Aishi Manula ni miongoni mwa wachezaji waliojumuishwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kwa ajili ya mechi za kuwania kufuzu michuano ya Afcon 2025 ambapo Tanzania inakabiliwa na mechi mbili muhimu za kuamua hatma yake dhidi ya Ethiopia na Guinea
Katika kikosi hicho Kaimu Kocha Mkuu Hemed Morocco pia amemjumuisha mlinda wa kulia wa Simba Shomari Kapombe na beki Abdulraza Hamza kutoka klabu ya Simba huku akimuacha Bakari Mwamnyeto
Mlinda lango wa Singida Black Stars Metacha Mnata pia amerejeshwa katika kikosi hicho
Hiki hapa kikosi kamili;