Manchester United na Chelsea wataongoza kinyang'anyiro cha kumnunua mshambuliaji wa Uswidi na Sporting Viktor Gyokeres,26, msimu ujao. (Stra)
Gyokeres atauzwa kwa takriban euro milioni 63 msimu ujao - euro milioni 20 chini ya kifungu chake cha kuvunja mkataba. (Telegraph - usajili unahitajika)
Manchester United pia wanamfuatilia kiungo wa kati wa Bayern Munich Mjerumani Leon..... download Xtra 90 App



