Kocha wa klabu ya Fenerbahce Jose Mourinho, 61, bado anamipango ya kurejea katika Ligi ya Primia, na kwa sasa analenga kujiunga na klabu ya Newcastle endapo mkufunzi wake Eddie Howe, 46, ataikacha klabu hiyo yenye maskani yake katika uwanja wa St James' Park. (Guardian)
..... download Xtra 90 App



