Baada ya tetesi kuvuma, hatimaye klabu ya Yanga jana imethibitisha kuhama uwanja wa Azam Complex na sasa itatumia uwanja wa KMC Complex
Taarifa iliyotolewa na Yanga jana, imebainisha kuwa Yanga itatumia dimba la KMC kwa mechi zote za ligi kuu zilizobaki pamoja na FA




