Wakati ligi ikisimama kupisha kalenda ya FIFA, wawakilishi wa Tanzania katika mashindano ya klabu ya CAF hatua ya makundi Yanga na Simba, zimerejea mazoezini leo kwa ajili ya maandalizi ya mechi zitakazopigwa mwishoni mwa mwezi huu
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe amesema wawakilishi hao wa Tanzania katika michuano ya ligi ya mabingwa, wataanza na program ya mazoezi ya..... download Xtra 90 App



