Klabu ya Sporting Lisbon imemtangaza Joao Pereira kuwa Kocha Mkuu akirithi mikoba ya Ruben Amorim
Pereira alikuwa kocha wa timu ya vijana ya Sporting Lisbon hivyo wamempandisha tu na kumfanya kuwa Kocha Mkuu
Amorim tayari ameondoka Ureno kuelekea jijini Manchester kuanza majukumu ya kuinoa Manchester United
Kocha huyo anaanza rasmi majukumu yake leo Jumatatu, Novemba 11



