Bodi ya Ligi imesema imepokea barua ya klabu ya Yanga inayoomba kuhama kutoka, Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, na kuhamia, KMC Complex kwa sasa wapo kwenye mchakato na kutazama sababu pamoja na kanuni ili kutoa uamuzi
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Bodi hiyo, Almasi Kasongo, alisema kuwa barua hiyo ilipokelewa juzi na sasa iko kwenye mchakato na siku si nyingi watatoa maamuzi ya kuwakubalia ama..... download Xtra 90 App



