Kwa mujibu wa mtandao wa GOAL, Lionel Messi anataka kujiunga na timu yake ya utotoni, Newell's Old Boys, baada ya kumalizika kwa msimu wa MLS wa mwaka 2025
Inaelezwa Messi ambaye ameshindwa kuisaidia timu yake kwenda hatua ya nusu fainali ya mtoano wa ligi Ukanda Mashariki licha ya kufunga mabao 20 katika msimu wa kawaida, anachosubiria kwa sasa ni kumalizika kwa..... download Xtra 90 App



