Waamuzi wanne wa Tanzania wako Afrika Kusini kwa ajili ya kuchezesha mechi ya kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025 baina ya Lesotho dhidi ya Afrika ya Kati
Mechi hiyo itachezwa leo kuanzia saa 10:00 jioni kwa muda wa Afrika Mashariki
Refa wa kati atakuwa ni Ahmed Arajiga akisaidiwa na Frank Komba na Hamdani Said huku mwamuzi wa akiba akiwa ni Elly..... download Xtra 90 App



