Local,Normal News,

Arajiga aendelea kupaa CAF

Joel JJ By Joel JJ
β€’
14 Nov 2024
Arajiga aendelea kupaa CAF

Waamuzi wanne wa Tanzania wako Afrika Kusini kwa ajili ya kuchezesha mechi ya kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025 baina ya Lesotho dhidi ya Afrika ya Kati

Mechi hiyo itachezwa leo kuanzia saa 10:00 jioni kwa muda wa Afrika Mashariki

Refa wa kati atakuwa ni Ahmed Arajiga akisaidiwa na Frank Komba na Hamdani Said huku mwamuzi wa akiba akiwa ni Elly Sasii

Lesotho inashika mkia katika kundi B la mashindano hayo ikiwa na pointi moja, Morocco inaongoza ikiwa na pointi 12 huku Gabon ikikusanya pointi saba na Afrika ya Kati ina pointi tatu

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
28m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
17h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’