Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, Fountain Gate, Singida BS

Mwamuzi Sudan Kusini kuziamua Ethiopia na Tanzania

Joel JJ By Joel JJ
β€’
14 Nov 2024
Mwamuzi Sudan Kusini kuziamua Ethiopia na Tanzania

Mwamuzi kutoka nchini Sudan Kusini, Ring Nyier Akech Malong ndiye ambaye ameteuliwa na Shirikisho la soka Afrika (CAF) kuchezesha mchezo kati ya Ethiopia dhidi ya Tanzania ukiwa ni mchezo wa kusaka tiketi ya kufuzu AFCON 2025

Mchezo huo utapigwa Lubumbashi DR Congo, Jumamosi Novemba 16, 2024

Stars inahitaji kushinda mchezo ili kuweka hai matumani ya kufuzu fainali za Afcon 2025 zitakazofanyika Morocco mwakani

Tanzania itakamilisha mechi ya mwisho kundi H uwanja wa Benjamin Mkapa, Novemba 19 dhidi ya Guinea

Kimahesabu kama Tanzania itashinda mechi zote mbili itaungana na DR Congo kucheza Afcon 2025

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’