Nyota kadhaa wa Manchester United wanaweza kujikuta katika wakati mgumu baada ya kutua kwa kocha Ruben Amorim
Baada ya kuiongoza Manchester United kwenye mwanzo mbaya zaidi wa Ligi Kuu ya Uingereza, Erik ten Hag alitimuliwa Oktoba 28
Ingawa klabu hiyo ilimteua mshambuliaji wa zamani wa United na meneja wa PSV Ruud van Nistelrooy kama kocha wa muda, morim tayari amekabidhiwa rsmi majukumu ya kuiongoza United
Imeelezwa tayari Amorim ameuambia uongozi wa klabu hiyo kuwa wachezaji Antony, Casemiro, Eriksen na Henrique hawajitaji katika kikosi chake
Aidha Amorim amesema kwa sasa hatasajili mchezaji yeyote kutoka katika klabu yake ya zamani Sporting Lisbon labda katika usajili wa majira ya joto



