Nyota kadhaa wa Manchester United wanaweza kujikuta katika wakati mgumu baada ya kutua kwa kocha Ruben Amorim
Baada ya kuiongoza Manchester United kwenye mwanzo mbaya zaidi wa Ligi Kuu ya Uingereza, Erik ten Hag alitimuliwa Oktoba 28
Ingawa klabu hiyo ilimteua mshambuliaji wa zamani wa United na meneja wa PSV Ruud van Nistelrooy kama kocha wa muda, morim tayari amekabidhiwa rsmi..... download Xtra 90 App



