Vinara wa ligi kuu ya NBC, Simba leo wamecheza mechi ya kirafiki dhidi ya KMC na kulazimishwa sare ya bao 1-1
Mchezo huo umechezwa katika Uwanja wa KMC Complex
Bao la Simba lilifungwa na Kelvin Kijili huku la KMC likifungwa na Paskal Musa
Baada ya mapumziko ya kalenda ya FIFA Simba itakuwa na michezo miwili dhidi ya Pamba ambao utachezwa Novemba 22 jijini Mwanza huku mchezo wa kimataifa Kombe la Shirikisho dhidi ya Bravos Novemba 27







