Simba, KMC zapimana ubavu KMC Complex

Joel JJ By Joel JJ β€’ 15th November 2024


Simba, KMC zapimana ubavu KMC Complex

Vinara  wa ligi kuu ya NBC, Simba leo wamecheza mechi ya kirafiki dhidi ya KMC na kulazimishwa sare ya bao 1-1

Mchezo huo umechezwa katika Uwanja wa KMC Complex

Bao la Simba lilifungwa na Kelvin Kijili huku la KMC likifungwa na Paskal Musa

Baada ya mapumziko ya kalenda ya FIFA Simba itakuwa na michezo miwili dhidi ya Pamba ambao utachezwa Novemba 22 jijini Mwanza huku mchezo wa kimataifa Kombe la Shirikisho dhidi ya Bravos Novemba 27


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.