Kamati ya usimamizi na uendeshaji wa Ligi ya Bodi ya Ligi, imeitoza klabu ya Azam Fc faini ya Sh. 3,000,000 (milioni tatu) kwa kola la kuzuia wapigapicha wa mdhamini mwenye haki za matangazo ya runinga, Azam TV kurekodi picha jongeo wakati timu hiyo ikiingia katika uwanja wa Azam Complex, kuelekea mchezo dhidi ya Yanga
Kulingana na taarifa ya Kamati, kitendo hicho ni uvunjifu wa masharti..... download Xtra 90 App



