Manchester United wameambiwa kuwa Sporting huenda hawana budi ila kumuuza mshambuliaji wa Uswidi Viktor Gyokeres, 26, lakini sio katika dirisha la uhamisho la Januari. (Mirror)
Manchester United wanajaribu kupata mkataba wa kumnunua winga wa Sporting mwenye umri wa miaka 17 Mreno Geovany Quenda. (A Bola - kwa Kireno)
Barcelona wanafikiria kumpa kipa Wojciech Szczesny, 34, mkataba..... download Xtra 90 App



