Ongala aanza kazi KMC

Joel JJ By Joel JJ β€’ 18th November 2024


Ongala aanza kazi KMC

Baada ya kutambulishwa na KMC mwishoni mwa juma lililopita, Kally Ongala ameanza rasmi majukumu ya kukinoa kikosi cha KMC

Ongala alitua KMC akichukua mikoba iliyoachwa na Abdihamid Moallin ambaye ametimkia klabu ya Yanga

Kirabua cha kwa kwanza cha Ongala ni mchezo wa ligi kuu dhidi ya Dodoma Jiji ambao utapigwa Novemba 24 katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma

KMC inashika nafasi ya 7 katika msimamo wa ligi kuu ya NBC ikikusanya alama 14 baada ya mechi 11


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.