Kikosi cha Al Hilal, leo Jumanne Novemba 19, 2024 kimeanza safari kutoka Libya kuja Tanzania kwaajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa Novemba 26 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam
Wakati kikosi hicho kikianza safari hiyo, kocha mkuu wa timu hiyo, Florent Ibenge amesema ana siku nne pekee za kujiandaa na mchezo dhidi ya..... download Xtra 90 App



