Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, Fountain Gate, Singida BS

Tanzania yafuzu Afcon 2025

Joel JJ By Joel JJ
β€’
19 Nov 2024
Tanzania yafuzu Afcon 2025

Tanzania imefanikiwa kufuzu kwa fainali za Afcon 2025 kwa mara ya nne baada ya kuichapa Guinea bao 1-0 katika mchezo wa kuhitimisha hatua ya makundi uliopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa

Alikuwa ni Saimon Msuva aliyefunga bao pekee la Stars katika dakika ya 61 akimalizia kwa kichwa krosi ya Mudathir Yahya

Kwa mara nyingine Tanzania inakwenda kuandika historia kwa kufuzu Afcon katika ardhi ya nyumbani baada ya kufanya hivyo mwaka 2019 dhidi ya Uganda

Hii ni mara ya kwanza kwa makocha wazawa chini ya Hemed Morocco kuipeleka Tanzania katika michuano ya Afcon 2025

Tanzania inamaliza nafasi ya pili kundi H ikifikisha alama 10 huku Guinea wakisalia nafasi ya tatu wakiwa na alama 9

Ni shangwe na vifijo kwa Watanzania baada ya kuishuhudia timu yao ikifuzu fainali za Afcon kwa mara nyingine

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
28m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
17h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’