Kocha wa Liverpool Arne Slot yuko tayari kumuuza mlinda lango wa Brazil Alisson Becker, 31, na wa Ireland Kaskazini Caoimhin Kelleher, 25, msimu ujao wakati mchezaji wa Valencia na Georgia Giorgi Mamadashvili, 24, atakapojiunga na klabu hiyo. (TBR)
Chelsea haitamnunua Kelleher kwani kocha mkuu Enzo Maresca ameridhika na chaguo zake za sasa. (Give Me Sport)





