Local,Normal News,Yanga, Hilal

Al Hilal yawasili mapema Dar

Joel JJ By Joel JJ
β€’
20 Nov 2024
Al Hilal yawasili mapema Dar

Wapinzani wa Yanga katika mchezo wa hatua ya makundi ligi ya mabingwa barani Afrika, Al Hilal wamewasili nchini leo kuelekea mechi ya kwanza ya makundi CAF CL

Yanga itakuwa mwenyeji wa Al Hilal katika mchezo wa kwanza kundi A ambao utapigwa Jumanne ijayo, Novemba 26 katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Akizungumza muda mfupi baada ya kutua Dar, Kocha Mkuu wa Al Hilal, Florent Ibenge, amesema wamekuja mapema Dar ili kuzoea hali ya hewa na pia kupata muda wa maandalizi ya mchezo huo

Ibenge amebainisha kuwa kikosi chake kiliwakosa nyota wengi ambao walikuwa katika majukumu ya timu za Taifa, hivyo watatumia siku zilizobaki kufanya mazoezi ya pamoja kabla ya mchezo dhidi ya Yanga

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
58m ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
4h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
10h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
10h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
16h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
23h ago
READ MORE β†’