Usiku wa leo vinara wa ligi kuu ya NBC, Simba wataondoka jijini Dar es salaam kuelekea Mwanza kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Pamba Jiji. Mchezo huo utapigwa Ijumaa, Novemba 22 katika uwanja wa CCM Kirumba
AKizungumza na wanahabari mapema leo, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba Ahmed Ali alisema msafara wa Simba utakaoondoka utajumuisha wachezaji ambao walikuwa katika..... download Xtra 90 App



