Liverpool na Newcastle wanavutiwa na mshambuliaji wa Brentford na Cameroon Bryan Mbeumo, 25. (Sun)
Manchester City wapo katika nafasi nzuri ya kumpata kiungo wa Bayer Leverkusen Florian Wirtz, 21, huku Real Madrid na Liverpool zikimkosa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ujerumani. (Caught Offside)
Beki wa klabu ya Santos Joao Victor de Souza, 18, ananyatiwa na Chelsea lakini klabu hiyo..... download Xtra 90 App



