Klabu ya Soka ya Simba imemtangaza Zubeda Hassan Sakuru kuwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wake Mkuu, huku ikiuarifu umma ya kwamba imefikia makubaliano ya kusitisha mkataba na aliyekuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa timu hiyo, Francois Regis
..... download Xtra 90 App



