Meneja mpya wa Manchester United Ruben Amorim ameweka kipaumbele cha kumsajili mshambuliaji wa Sweden Viktor Gyokeres kutoka klabu ya zamani ya Sporting msimu ujao lakini Manchester City pia wanamtaka mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26. (Sunday Mirror)
..... download Xtra 90 App



