Kocha Mkuu wa Yanga Sead Ramovic amesema katika kikosi chake kila mchezaji atakuwa na mchango wake kwani timu yake haina mchezaji staa
Akizungumza katika Mkutano na wanahabari kuelekea mechi yake ya kwanza tangu ajiunge na Yanga ambayo ni mechi ya ligi ya mabingwa dhidi ya Al Hilal, Ramovic amesema pamoja na kuwa ni mara yake ya kwanza kuongoza timu katika michuano mikubwa ya ligi ya..... download Xtra 90 App



