Aussems, Kitambi wasimamishwa Singida BS

Joel JJ By Joel JJ β€’ 25th November 2024


Aussems, Kitambi wasimamishwa Singida BS

Klabu ya Singida Black Stars imetangaza kuwasimamisha kazi Kocha Mkuu Patrick Aussems na Kocha Msaidizi Denis Kitambi baada ya mfululizo wa matokeo mabaya

Taarifa iliyotolewa na Singida BS imebainisha kuwa Mkugugenzi wa ufundi Ramadhan Nsanzurwimo atakaimu nafasi ya Kocha Mkuu akisaidiwa na Muhibu Kanu kama kocha msaidizi


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.