Klabu ya Singida Black Stars imetangaza kuwasimamisha kazi Kocha Mkuu Patrick Aussems na Kocha Msaidizi Denis Kitambi baada ya mfululizo wa matokeo mabaya
Taarifa iliyotolewa na Singida BS imebainisha kuwa Mkugugenzi wa ufundi Ramadhan Nsanzurwimo atakaimu nafasi ya Kocha Mkuu akisaidiwa na Muhibu Kanu kama kocha msaidizi




