Bodi ya Ligi yaidhinisha Yanga kuhamia KMC Complex
By Joel JJ β’ 25th November 2024
Bodi ya Ligi Kuu imeidhinisha maombi ya klabu ya Yanga kutumia uwanja wa KMC Complex kama uwanja wake wa nyumbani katika mechi za ligi kuu zilizobaki pamoja na kombe la Shirikisho la CRDB
XTRA 90 INSIDER
Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.