Bodi ya Ligi yaidhinisha Yanga kuhamia KMC Complex

Joel JJ By Joel JJ β€’ 25th November 2024


Bodi ya Ligi yaidhinisha Yanga kuhamia KMC Complex

Bodi ya Ligi Kuu imeidhinisha maombi ya klabu ya Yanga kutumia uwanja wa KMC Complex kama uwanja wake wa nyumbani katika mechi za ligi kuu zilizobaki pamoja na kombe la Shirikisho la CRDB


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.