Aliyekuwa kocha wa Coastal Union David Ouma ametangazwa kuwa kocha msaidizi wa Singida Black Stars
Ouma ametajwa kushika nafasi hiyo akichukuwa nafasi ya Denis Kitambi aliyesimamishwa kazi klabuni hapo sambamba na bosi wake Patrick Aussems
Hata hivyo bado Singida Black Stars hawajamtangaza kocha mkuu, ambapo nafasi yake kwa sasa inashikwa kwa muda na Ramadhan Nsanzurwimo





