KMC, Tabora United, Fountain Gate, JKT Tanzania viwanjani leo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 29th November 2024


KMC, Tabora United, Fountain Gate, JKT Tanzania viwanjani leo

Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo Ijumaa, Novemba 29 ambapo mechi mbili zinatarajiwa kupigwa saa 10 jioni

Watoza ushuru kutoka Manispaa ya Kinondoni, KMC watakuwa dimba la KMC Complex kuikabili Tabora United huku Fountain Gate inayotumia uwanja wa Kwaraa Manyara ikwakaribisha maafande wa JKT Tanzania


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.