Saa 12:30 jioni, Yanga SC watakuwa ugenini uwanja wa Majaliwa wakicheza na Namungo FC
Yanga SC na Namungo FC wanaingia katika mchezo huu kila mmoja akitoka kupoteza mechi mbili mfululizo katika NBC PL
Mapema kabla ya mchezi huo, saa 10:00 jioni, Mashujaa FC watakuwa Lake Tanganyika wakikipiga na Kagera Sugar




